Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)
Read Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) lyrics by Diamond Platnumz on LyroVerse, with linked artist context and related song paths.
The page facts to cite before the commentary
Use this page for the lyric text, linked artist context, and any LyroVerse editor's note attached to the song. Listener comments remain user-generated and should not be treated as the primary source.
Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)
The lyric stays readable and compact here; the note and related paths sit nearby so you do not lose the song while looking for context.
Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na pepe kale
Zilipendwa
Eh! Kizamani, kutoa card na maua (zilipendwa)
Wanataka money ukilipa unakwarua (zilipendwa)
Ufundi kitandani, sio maguvu kujikamua (zilipendwa)
Unafika ndani, hujatomasa unachanua (zilipendwa)
Wanawake wa leo wanataka mikakati
Ukiwa mzugaji haki ya mungu huwapati (zilipendwa)
Mapenzi ya video yatakutoa kamasi
Eti nikinywa maji nakuona kwenye glass (zilipendwa)
Eeh! Kupiga chabo getto (zilipendwa)
Mkono na dettol (zilipendwa)
Sunche na kapeto (zilipendwa)
Majay na Mobeto (zilipendwa)
Oooh! Hizo ni zama za kale
Oooh! Sangulo na Pepe kale
Mmm bolingo ndombolo (zilipendwa)
Twanga chipolopolo (zilipendwa)
Na maji ya kandoro (zilipendwa)
Simba wa Morogoro (zilipendwa)
Tani sipati sukari guru kabisa (zilipendwa)
Hivi yuko wapi Mb Dogg wa Latifa (zilipendwa)
Babu Tale wapi papa misifa (zilipendwa)
Siku hizi party hatuendagi Ibiza (zilipendwa)
Mpira na Pele (zilipendwa)
Tanu na Nyerere (zilipendwa)
Asha Ngedere (zilipendwa)
Arusi mabele (zilipendwa)
Eti Uuze nyumba uweke heshima bar
Eti Ulazimishe aliyekukataa
Sabuni Kicherema (zilipendwa)
Mabanda ya Cinema (zilipendwa)
Lipumba na lema (zilipendwa)
Diamond na Wema (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm... Na sogi dogg (zilipendwa)
Chanel analogy (zilipendwa)
Movie za saibogy (zilipendwa)
Van Dame, Anod (zilipendwa)
Una nibeep nikupigie umeiweka vocha (haloo)
Ule wewe nilipe mie umeniona Lofa
Tena na madada wenye majina acheni visa
Unaitwa ukale diner mnakwenda Tisa
Nywele za kichina (zilipendwa)
Pochi za kuazima (zilipendwa)
Zena na betina (zilipendwa)
Bashite gwajima (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm Amitabh Bachchan (zilipendwa)
TV kwa jirani (zilipendwa)
Madee Rayvany (zilipendwa)
Zari Ivan (zilipendwa)
Yanini kunichunguza naish wapi (zilipendwa)
Nala, chapati kwa maini au makange (zilipendwa)
Kutwa kunikalia chini unakamati
Oh ya Rabi masikini kuni dhihaki
Ah sampamba pangala (zilipendwa)
P Funk Kajala (zilipendwa)
Onyango na Jangala (zilipendwa)
Rufufu mkandala (zilipendwa)
Vya nini vidomo domo tutupiane tunguli
Kisa pesa za mkopo msimu wa Magufuli
Ah, Bongoman yondo (zilipendwa)
Sikinde Msondo (zilipendwa)
Magari ya Udongo (zilipendwa)
Babu wa Loliondo (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zilivumaga sana)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Ah TV za kichogo (zilipendwa)
Wakina Man Dojo (zilipendwa)
Na Iyobo (zilipendwa)
Akina Hatupogo (zilipendwa)
Eti msiba ukiona Bundi unataka kupagawa
Tulale makundi makundi kuogopa popo bawa
Zuwena nitampata wapi (zilipendwa)
Zuwena wa zile nyakati eh (zilipendwa)
Kujifanya mapanga sunna wamepinda
Wengine wabeba vyuma na hakuna marinda
Iddi Amini dada (zilipendwa)
Miuno ya H Baba (zilipendwa)
Domo Chai Jabba (zilipendwa)
Michezo ya kibaba baba (zilipendwa)
Wale wapiga deal sasa hali mbaya (zilipendwa)
Hizi zama za Magufuli si za Jakaya (zilipendwa)
Ugomvi wa Mr. Nice na Dudu Baya (zilipendwa)
Vikatuni vya madenge baba ubaya (zilipendwa)
Muhogo mchungu mr. Bean, wapi bambo (zilipendwa)
Wale wazamiaji wale wa melini wazee wang'ambo
Hivi yuko wapi Banjamini wa Mambo Jambo
Wa Vietnam waporini vita na Rambo
Eh ndanda Mjela jela (zilipendwa)
Kidali Kombolela (zilipendwa)
Max na Zembwela (zilipendwa)
Juma Nature na fela (zilipendwa)
Ooh hizo ni zama za kale (zama za zamani)
Ooh Sangulo na pepe kale (yoyoyo)
Mmm kamanda Daz Nunda (zilipendwa)
Kalumanzila Ndumba (zilipendwa)
Simu za Dole gumba (zilipendwa)
Johari na Kanumba (zilipendwa)
Wasafii
Zilipendwa, zilipendwa
Zilipendwa, zilipendwa
Ohlilelelileeee
Zilipendwa
What this page can answer fast
Who performs "Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)"?
Diamond Platnumz performs "Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)", and this lyric page sits inside the Diamond Platnumz catalog on LyroVerse.
Are there related songs to explore after "Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny)"?
Yes. The related section below points to KIDOGO (feat. P'square) and Mdogo Mdogo with a short reason for opening each page next.
Where can I find more songs by Diamond Platnumz?
Use the artist link near the top of the page or the related paths section below to keep moving through Diamond Platnumz's lyric pages.
Interpretations, questions, and corrections for this song
Interpretations, questions, memories, and correction notes live together here. The room stays noindex while the best insights are reviewed.
What people are saying
No listener comments on Zilipendwa (feat. Harmonize, Rich Mavoko, Rayvanny) yet.
A strong comment here is specific: the phrase you keep hearing, the mood you come back for, or the reason this song stays in rotation.
Sign in to post the first listener note. Reporting stays open to everyone.