tangu iraki mpaka amerika
wako karibu yakufunga vita
mi mama mzazi nauliza
ni nani ata linda watoto wetu
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mimi huyu nakosa njiya
yakusikika kwa wakubwa
kwa hakika tulijioneya
vita ya kwanza ilizala fitina
bwana hussein anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
nakata matumaini
ju kwa vile naona
wakubwa hawajali macozi ya
mutu mudogo analiya wake
siraha ya amani ilikuta kwake
mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
mr.clinton anasema:
"nataka salaam"
mi si aminiye neno ile
damu yaliyo mwangiwa
ni ya wadogo na watoto tu
A strong comment here is specific: the phrase you keep hearing, the mood you come back for, or the reason this song stays in rotation.
Sign in to post the first listener note. Reporting stays open to everyone.